OFISA Habari wa Klabu ya Yanga, Ali Kamwe, amesema mechi ya watani wa jadi kati ya Simba na Yanga maarufu Dabi ya Kariakoo, inayotarajiwa kuchezwa Jumamosi ijayo, saa 1:15, usiku kwenye Uwanja wa ...
KLABU ya Simba imesema mchezo wa Jumamosi dhidi ya Yanga umebeba hatma, mustakabali na heshima yao, huku winga, Kibu Denis, akibainisha kuwa katika mechi ambazo hucheza kwa ufanisi na kujituma zaidi ...